Showing posts with label Talents. Show all posts
Showing posts with label Talents. Show all posts

Thursday, June 13, 2013

TAMASHA KUBWA LA KUMSIFU MUNGU PAMOJA NA WATOTO WA MUNGU (HOCET)

 
SHALOM!!
IMETUPASA,NI VEMA NA HAKI KUMSIFU MUNGU WETU KILA SAA NA KILA WAKATI...MAANA AMETUUMBA ILI TUMWABUDU...LAKINI HIYO PEKE YAKE HAITOSHI,MTUME PAULO ANASEMA DINI ILIYO SAFI ISIYO NA TAKA MBELE ZA MUNGU BABA NI HII KUWATAZAMA YATIMA,WAJANE,WASIO NA MSAADA KATIKA DHIKI ZAO NA KUJILINDA NA DUNIA PASIPO MAWAA (YAK 1:26,27)
....BASI SASA SAFARI HII WATU WA MUNGU TUTAKUSANYIKA PAMOJA KWA AJILI YA KUMSIFU MUNGU,KUZINDUA DVD YA WATOTO WA MUNGU PAMOJA NA KUFANYA CHANGIZO LA KUWASIDIA MTAJI WA KUJIENDESHA WATOTO HAWA AMBAO WAFADHILI WAO WALIWAKIMBIA BAADA YA KUONA WANAMWAMINI MUNGU!....BASI UKIONA TANGAZO HILI NJOO UJUMUIKE NASI ILI TUTIMILIZE MAANDIKO YOTE!
WAIMBAJI WENGI SANA WATAKUWEPO KATIKA KUWASINDIKIZA WATOTO HAWA NA MALENGO MAKUBWA NI KUPATA FEDHA ZA KUTOSHA KUNUNUA CANTER,NG'OMBE WA MAZIWA PAMOJA NA MTAJI WA KUKU WA MAYAI NA NYAMA ILI SHULE HII IWEZE KUJIENDESHA PASIPO KUNGOJA MISAADA MAANA WATOTO HAWA WANAWEZA KUZALISHA NA KUJITEGEMEA HUKU WAKISOMA VIZURI NA KUSOMA NA KWA BIDII!!
IWENI MFANO WA KUIGWA!!!

UNAWEZA KUTUMA MCHANGO WAKO KWA M-PESA KWENDA 0754527955

GOSPEL STANDARD BASE BLOG TUWATAKIENI MAFANIKIO MEMA NA MNAKARIBISHWA KUTUSHIRIKISHA TENA WAKATI WOWOTE ULE MKIWA TAYARI!
President.

Thursday, May 16, 2013

JUKWAA LA KIOO......WAJUE 1st Q CHRISTIAN DANCERS,VIJANA WANAOKUJA KWA KASI NCHINI KATIKA TASNIA YA DANCE!!

Episode One......JUKWAA LA KIOO!!!

SHALOM!
KWA MARA YA KWANZA KATIKA CHUMBA HIKI KIPYA CHA "JUKWAA LA KIOO" CHINI YA UKURASA WA WA "Gospel Music" na "Talents"NA LEO KWA MARA YA KWANZA TUNAANZA NA 1ST Q DANCERS WENYE MAKAO YAO JIJINI DAR ES SALAAM,HILI NI KUNDI LENYE VIJANA MAHIRI NA NIMEBAHATIKA KUWAONA MARA KADHAA KATIKA MATUKIO KADHAA NA LEO NIMEPATA BAHATI YA KUFANYA MAHOJIANO NA MBEBA MAONO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KUNDI HILI DADA GRACE LIFARD MLAWA,NA MAZUNGUMZO YETU YALIKUWA KAMA IFUATAVYO;

GoStaBa:Habari yako dada!

MGN:Ni nzuri sana sijui za kwako?
Mimi ni mzima sana na leo naona nikuhoji kidogo kuhusu kundi lako la 1st Q,naamini hutojali!
karinu sana wala usijali,na mimi ninafurahi kupata nafasi hii ya kuongea na Gospel Standard Base.

GoStaBa: Okey,watu wangependa kujua Kundi lenu linaitwaje?

MGN:1st Q (1st Quadrant)


GoStaBa: Nini maana ya jina hilo na kwa nini mnajiita hivyo?

MGN:1st Quadrant inatoka katika “XY plane”, ambapo AXES zote katika 1st quadrant ni chanya (Positive), ndio maana tukajiita hivyo, kama Biblia ilivyoandika katika Warumi 8:28…..Nasi twajua ya kuwa katika mambo yote,Mungu hufanya kazi na wale wote wampendao katika kuwapatia mema!.......kwa hiyo nasisi tunaamini kwetu yote ni mema kwasababu tunafanya nae kazi.

GoStaBa: Kundi lenu lilianza lini na lilianzishwa na nani?

MGN:Tulianza mwezi  april mwaka 2012 kwa halisia,lakini wazo lilikuwepo tangu mwaka 2010,Kundi hili ni wazo langu(Grace) ila tulianza na watu watano nao ni Mimi,Belinda,Mgeni ,Tenes na Lisa.Lakini mpaka sasa tunao dancers 12,wakiwemo wasichana 9 na wavulana 3.


GoStaBa:Hili ni wazo jipya kwa kanisa,hususani kundi linalowahusisha wasichana wengi zaidi,Je nini  Changamoto zipi mlizopambana nazo au mnazoendelea kupambana nazo katika kukua kwenu?

MGN:Changamoto ni nyingi lakini hizi chache ndizo naweza kuzisema kwa sasa; ya kwanza ni kuwa <Sio makanisa yote yanaelewa jambo hili kwa hiyo watu hao hawawezi kuwaruhusu> ya pili<Kwa kuwa wengi wa dancers ni wanafunzi  wa secondary na vyuo hivyo muda wa kukutana kufanya mazoezi ni adimu,yaani mpaka wakati wa likizo> ya tatu <Kwasababu watu wengi bado hawajui na hawajakubali,basi kuungwa mkono bado ni kugumu na kusemwa semwa  bila  kusaidiwa> na nyingine ni <hatuko Exposed,lakini bado tunalifanyia kazi ili kuhakikisha tunafahamika> ,na nyinginezo  lakini zingine ni za kawaida na zinatatulika.

GoStaBa: Mmefanikwa kwa kiasi gani mpaka sasa?

MGN:Bado hatujafanikiwa kufikia malengo yetu lakini mpaka sasa tumeshahudhuria na kuhudumu katika matukio/matamasha zaidi 10 tangu mwaka jana mpaka sasa,yakiwemo matamasha matatu ya mwisho ya King Chavala..LAUGH AGAIN CONCERT SERIES na pia tumeshirikishwa kwenye Video ya wimbo wa “KATIKA NYUMBA YA BWANA” wa Amani Kapama.

UNAWEZA KUANGALIA VIDEO CLIP HII KAMA SAMPLE
http://www.youtube.com/watch?v=SVVuCoKZTGg

GoStaBa: Mnalelewa na nani?

MGN:Tunalelewa na Mama Mlawa na kushauriwa na Daniel,Agnes,Doreen,Patrick na wengineo

GoStaBa: Nini mategemeo au mipango yenu mbeleni?

MGN:Mategemeo yetu makubwa sio kuendesha 1st Q kama kundi bali kama ministry au organization ambayo itahusisha vipaji vingi sana walivyo navyo vijana katika kuhubiri injili na sio Dar peke yake bali Tanzania nzima.

GoStaBa: Ni jambo gani ambalo mkisaidiwa mnafikiri mtalifurahia sana kama kundi?

MGN:Tutafurahi sana kama tutapata nafasi ya kufanya kazi/kupeform mahali wa makubaliano ya muda mrefu au uhakika wa kufanya performance angalau mara moja kwa mwezi.

GoStaBa: Ni nani mnatamani kufanya nae kazi?

MGN:Yeyote Yule aliye tayari kufanya kazi nasi kwa moyo mmoja.

GoStaBa: Ni kundi gani(la ndani au nje ya nchi) ambalo mnavutiwa nalo sana na mnatamani kuwa kama wao au kuwazidi? Kwanini?

MGN:Hakuna kundi tunalotamani kuwa kwa wao au kuwazidi ila kuna makundi ambayo tunayakubali ni kama vile RIOT Dancers,DPC Dancers na mengine mengi  ya nje kama vile mastered seed group.


GoStaBa: Una neno au ushauri wowote kwa wasomaji wa Blog hii?

MGN:Naona niwape neno toka katika Biblia kitabu cha 1kor 10:31…..Basi,mlapo au mnywapo,au mtendapo neno lolote,fanyeni  yote kwa utukufu wa Mun gu….. na pia 1kor 12:5-6……tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye Yule. 6-Kisha pana tofauti ya kutenda kazi,bali  Mungu ni yeye Yule azitendaye kazi zote katika wote. Utofauti wetu (Wakristo) katika kutenda kazi usituathiri, ikiwa wote tunafanya kazi  ya Yesu Kristo  tukiongozwa na Roho mtakatifu. Amen.

GoStaBa: Ahsante sana mtumishi kwa muda wako na natumai tutaonana tena na tena!

MGN: Ahsante sana pia ninakushukuru sana na Mungu awabariki ili mzidi kungara ulimwenguni.
....................................................................................................................

BASI KWA UFUPI KAMA TULIVYOMSIKIA MBEBA MAONO NA MKURUGENZI,GRACE LIFARD MLAWA, HILO NDIO KUNDI LA DANCE LA LA 1ST Q  LENYE MAKAO YAKE JIJINI DAR ES SALAAM ,AMBALO LINAENDELEA KUKUA NA WAKO TAYARI  KUFANYA KAZI NA KANISA,MWIMBAJI,DANCERS NA MTUMISHI YEYOTE YULE ALIYE TAYARI AITHA IWE TAMASHA,IBAADA AU HATA KUFANYA VIDEO RECORDING KWA WAIMBAJI WA NDANI NA NJE YA NCHI YA TANZANIA SAWASAWA NA MISINGI NA TARATIBU ZA KUNDI HILO KWA UTUKUFU WA MUNGU.
NATAMANI TUWATIENI MOYO VIJANA HAWA WALIOAMUA KUMTUMIKIA MUNGU KUPITIA VIPAJI VYAO,BASI KWA KUJUA ZAIDI AU KUWAALIKA AU KUTAKA KUSHIRIKIANA NAO BASI WAWEZA KUWAPA KUPITIA ANAUANI ZIFUATAZO;

Simu; +255719868702, +255719406060, +255654767422
Barua pepe;lifarda1@gmail.com
Facebook; 1st Q

KARIBUNI SANA KWA MASWALI NA MAONI AMA USHAURI
+255 713 883 797
lacs.project@gmail.com

Wednesday, March 6, 2013

GOSPEL SINGERS' BREAKFAST KUZINDULIWA TAR 06/04/2013

Hii ni fursa ya kipekee ambayo itawakutanisha waimbaji wote wa nyimbo za injili walio Dar au watakaobahatika kuwa Dar kwa kuanzia kwa ajili ya ushirika wa Neno,ushauri,kutiana moyo,kufahamiana,maombi na chai nzito ya pamoja!!

Je ungependa kuimba kwa kushirikiana na wenzako?ama ungependa kumiliki Blog au tovuti?,je ungependa kujitangaza kwa mitandao? Je ungependa kuwa wa kimataifa?.....basi hii ni nafasi ya kipekee sana!!

KUNA MAMBO MENGI SANA YA KUJIFUNZA KATIKA DHIFA HII,HIVYO WEWE UKIWA KAMA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI AITHA BINAFSI,KUNDI AU KWAYA,UNAYECHIPUKIA AU UNAYETAMANI KUANZA PAMOJA NA WEWE UNAYEFAHAMIKA SANA!!
Wazo hili limetoka "Chavala Ideas Platform"
na linasimamiwa na kudhaminiwa na
Blog ya kikristo: Gospel Standard Base (GoStaBa Blog)

Dhifa hii itafanikiwa sana kama kila mshiriki akiwa na mchango wa Angalau 5000/=(hiho kiwango sio kiingilio,hivyo unaweza kutoa zaidi kama unawiwa,karibu sana)

Tafadhali ukipata ujumbe huu mwalike na mwenzako


+255-(713/753)-883797


City Harvest Church Auditorium at Victoria petrol station,Gereji,Mandela road,Dar es salaam


GOSPEL SINGERS’ BREAKFAST in SUMMARY
“A special divine social, spiritual and intellectual based morning feast through which all ready and willing Tanzania gospel singers (ready on board and those who are in-process of coming) and all other stakeholders from all strata and diversities will mingle together for soul, mind and body foods, in order to be STRONG in all spheres of life, for the sake of improving our servant hood, our focus and efficiency in serving and manifesting the Kingdom of God in Tanzania and in the Universe. Hopefully this event will serve singers to be impacted, motivated, inspired and challenged to think bigger. Moreover it will help them to familiarize, socialize, and strategize more on how to build a better united, focused future oriented powerful Gospel family in Tanzania, East Africa and Africa which dwell in Gospel Standards!”

Tuesday, February 19, 2013

A CALL TO MINISTRY

Praise Jesus!
I am grateful  to God who has given us breath this one more day and it is my prayer that we use the day to honor him.  

A call to ministry, is something I have been asking myself about for sometime now. there are a number of people in the bible who had been addressed by God to do something, there were many excuses and some even tried to run away like Jonah. Not only that but also even in these days' life, I have seen people trying to avoid some leadership positions in church or some other places related to church, I have done it myself. I tried to explore the reasons to why this happens.


Yes, sometimes it might happen that God does not want you to be where people want you to lead but there are times when we do not run away from people's wants to embrace God's will but we run away from God's will and that is my point of interest, why does this happen!

Let us have a few examples of the people from the bible, I know perhaps you have read their stories but just take some time to ponder this situation and see what you can get from here

Moses

  • Was raised up in the house of Pharaoh
  • Deep inside of Him God had put a desire to help his fellow Israelite
  • He killed an Egyptian as he was helping his fellow in a fight
  • When the time came for him to fulfill the purpose God called him for,  the past was haunting him and fear would not let him accept God's call
  • The good thing is later on, he accepted and did what he was supposed to do
Jonah

  • God wanted him to go to Nineveh
  • he ran away, headed to Tarshish 

  • God sent a great wind 
  • He was then swallowed by a huge fish, stayed there for three days and three nights
  •  He was then brought back to the path he should have followed
Jeremiah
  • God appointed Jeremiah to be a prophet to the nations
  • Jeremiah's reply was "I do not know how to speak, I am very young"
  • But the LORD said to Jeremiah "Do not say, 'I am too young.' You must go to everyone I send you to and say whatever I command you to say. Do not be afraid of them for I am with you to rescue you"


Some reasons to why people want to restrain from attending to God's call

  • Fear, thinking that they can not handle what God wants them to do.
  • Instead of trusting the one who calls them, they focus on their disabilities.  
  • Pride, some people fail to humble themselves after God has given them higher positions.

Today, I have just one word to those who think it is hard to make it, the ones who are in a crossroads on whether to say yes to God or not.
From the book of 1 Thessalonians 5:24
"The one who calls you is faithful and he will do it.NIV
God will not let us do what we can not do, in fact, He himself does it through us. 
And when you think that what God wants to do with you is bigger than what you can handle, know that you have to look at yourself differently, God knows what you can or can not handle and so find a way to look at yourself the way God looks at you!

God bless you so much and keep pressing on!

Saturday, January 26, 2013

HII NI TAARIFA YA MWIMBAJI WA KITANZANIA WA NYIMBO ZA INJILI "RACHEL SCHARP" ANAYEISHI NCHINI SWEEDEN KWA WATANZANIA WOTE KUPITIA VYOMBO VYA HABARI WEEKEND HII!!


Press release

KARUBUNI sana wanahabari katika hafla yetu hii fupi yenye lengo la kumpa Mungu wetu utukufu.
Mimi ninaitwa Rachel Scharp, ni Mwimbaji wa nyimbo za Injili, ninaishi Malmo, Sweden. Lakini kwa
sasa nipo nyumbani kwa ajili ya utambulisho wa Albamu yangu ya Muziki wa injili.
Uimbaji kwangu ni maisha kwa kuwa nilianza kuupenda muziki na kuimba kuimba nikiwa mdogo sana,
nilikuwa nikitunga nyimbo na kuwafundisha wadogo zangu. Tuliimba nyimbo hizo jioni, haswa kipindi
kile cha ugawaji ikiwa zamu ya Kaya yetu, ile foleni ya kununua mchele ilivyokuwa ndefu chakula
kilikuwa kinachelewa, ili wadogo zangu wasilale bila kula na furaha ya kusubiria ubwabwa na maharage
basi tunaimba kusubiria msosi, Wakati huo hakukiuwa na Tv. kama ilivyo sasa.

Niliimba Kwaya ya shule pale “Jangwani Secondary” pia niliongoza sifa na kuabudu Kwenye fellowship
katika kanisa la Msewe Lutheran . Nilikuwa nikiandika nyimbo nyingi nikitegemea kupata fursa ya
kurekodi au kuimba na Kwaya nyimbo zangu, lakini sikupata fursa hiyo.

Kwa sasa ninaimba Kwaya kanisa la Elim Pentecostal huko Malmo kusini mwa Sweden, ninaongoza sifa
na kuabudu. Ninaimba pia kwenye kundi linaloitwa Shalom International ambalo ni muunganiko wa
waimbaji kutoka makanisa mbalimbali ya kiroho yaliyopo mjini Malmo. Nilipata fursa ya kurekodi album
yangu ya kwanza mwaka 2008 ikazinduliwa huko Sweden, Mai mwaka, 2009 nikisindikizwa na dada
Upendo Kilahiro. Album hiyo niliita 'Naringa na Yesu' yenye nyimbo 9, iko Kwenye mfumo wa sauti tu.

Leo ninatambulisha album yangu ya pili yenye jina la 'Ni Mungu wa ajabu'. Album hii Ina nyimbo kumi
zilizo Kwenye mfumo wa sauti (audio), na 8 Kwenye mfumo wa picha na sauti (DVD).
Nimerekodi album hii Oktoba mwaka 2011 nchini Sweden, kwa upande wa mpangilio wa vyombo na
muziki nikisaidiwa na Paalab Nyarko, kutoka Ghana na producer Zolile Matikinga(Zorro) - kutoka South
Afrika.

Mwanzoni mwa mwaka 2012 niliongeza baadhi ya vionjo vya muziki kwenye studio za New Life band
Arusha, vionjo nilivyoingiza ni gitaa la solo lililopigwa na Godlucky Matingisa wa New life band Arusha,
Base Gitaa limepigwa na Wilsson Godfrey Mtangoo. Ngoma zilipigwa na Fujo Makaranga . Na sauti pia
niliingiza hapo Arusha nikisaidiwa na Jackson Benty, chini usimamizi na uangalizi wa producer Wilsson
Mtangoo. Mwalimu wa sauti mchungaji David Nkone.

Video imerekodiwa na UMU production Arusha chini ya uongozi wa Jojo Jose Mwakajila. Video hii
imerekodiwa Sweden (Malmo), Ujerumani (Berlin), Tanzania (Dar es Salaam, Bagamoyo, Arusha ,Moshi,
Serengeti).

Midundo ya nyimbo hizi ni ya kiasili (kitamaduni), Napenda nyimbo zenye vionjo vya Kiafrika na
kitanzania zaidi. Nimeimba kwa kiswahili na kiingereza pia. Na nyimbo nyingi ni za kiswahili, hii
haimaanishi kwamba soko liko nchi wanazoongea kiswahili tu. cha kushangaza ni kwamba pia nch za
Scandinavia wanapenda sana kiswahili na kukithamini, na nafikiri kuliko hata sisi wenye lugha.

Wanasema kwamba ni lugha yenye sauti tamu nami sina budi kujivunia na kuiendeleza na huku
nikimsifu Mungu na kupeleka ujumbe kwa Watu wake.

Nyimbo hizi zimebeba jumbe mbalimbali, kuna za kumsifu Mungu na matendo yake makuu, kuna za
maonyo na kuna za kutia moyo kwa safari hii ngumu ya kwenda mbinguni.
Ningependa sana watu wapate ujumbe huu na wakutane na Mungu katika maeneo hayo tofauti kama
nilivyoeleza mwanzoni kuwa kuna kumsifu na kumwabudu Mungu, kuonywa na kutiwa moyo pia.
Inategemea mtu yuko kwenye hali gani na ana mahitaji gani.

WITO WANGU KWA JAMII

kwanza ni kupenda na kuthamini kile tulicho nacho Mungu alicho tupatia.
Kwanza kwa sisi wakristo tumepewa Neema hii ya wokovu tunatakiwa tuipende, tuithamini, tuitunze na
tuiendeleze, tusiichezee na tuwafanye wengine pia waijue na waipate.
Kama tusipoipenda, tusipoithamini, kujivunia na kuilinda, wengine hawatajua thamani yake.

Nikaja kwenye jamii yetu kwa sasa tunapenda sana kuiga kutoka nje tunaacha ya kwetu, sikatai kuiga
yale yaletayo maendeleo, na tunahitaji kujifunza kutoka kwa walioendelea, lakini si kwamba tuvipuuzie
vya kwetu. Kuna vyetu vinavyohitaji mwendelezo.na tena vikawa vizuri sana na wa nje wakaiga kutoka
kwetu. Kwa Mfano; muziki wetu , lugha yetu na vingine vingi.

Kwa upande wa muziki, watanzania siku hizi wanapenda sana muziki kutoka Afrika kusini, ni mzuri sana
hata mimi napendezwa nao. Naona sasa waimbaji wengi wanapenda kupiga mtindo huo. Ule ni muziki
wa asili wa ngoma zao za kienyeji ukawekwa/ukaongozewa vionjo vya kisasa.

Sasa na sisi tutakapopiga muziki huo hautakuwa mzuri kama wanavyopiga Joyous Celebration kwa kuwa
ndio asili yao. Swali ni kwamba, kwa nini na sisi watanzania tusitengeneze lizombe letu au Mdumange au
Sindimba na hata Mdundiko tukaweka vionjo vya kisasa ukawa mzuri tu na wao waige kutoka kwetu?
Nilazima tujitahidi jamani tuwe na utambulisho wetu (identity). Kwamba ukisikika muziki uutambue
mmmh Huu ni muziki wa Tanzania, tunahitaji ubunifu tu kuondoa uvivu wa kufikiri. Kama tukitulia na
kubuni na kutumia vipawa tulivyopewa na Mungu tutafika mbali sana na sio kupita njia ya mkato ya
kuiga tu.
Namalizia kwa kuwaambia watanzania, tusiende kwa mazoea eti watu wamezoea hivi. Huu ni wakati wa
mabadiliko, tubadilike turudi kwetu. Tutafika mbali. watanzania tunaweza, na kuleta mabadiliko ni mimi
na wewe.

Asanteni sana kwa kuja kushiriki pamoja nami tukio hili la Baraka. Mungu awabariki sana.

Rachel Scharp

Tuesday, January 8, 2013

MAISHA YA UREMBO NA WOKOVU(2)

SHALOM WATUMISHI WA MUNGU!!!
MWAKA JANA MWISHONI TULIANZA KWA KUANGALIA MAISHA YA UREMBO NA WOKOVU NA SASA NI MUENDELEZO WA PALE SOMO LILIPOSHIA...

"UREMBO WAKO UNAVYOWEZA KUTUMIKA KATIKA MATANGAZO MBALIMBALI"

IKIWA wewe ni mrembo,Urembo wako unaweza Kutumika katika matangazo mbalimbali ya bidhaa: katika kipengele hiki, unaweza kutumika katika kutangaza biashara mbalimbali ilimradi tu sio kwa style iliyo nje ya maadili ya wokovu au sio katika bidhaa ambazo hazimpendezi Mungu kama kilevi nk.

Pia katika matangazo haya, hata kama ni tangazo la bidhaa kama mafuta, sabuni, au makampuni ya simu nk. Utaangalia ni sehemu gani tangazo hilo linafanyikia na ni aina gani ya mavazi unayotakiwa kuvaa, kama ni mavazi ya heshima sio mbaya kama ukifanya kwani itakuingizia kipato.

Katika suala hili la urembo, mtu wa Mungu kupendeza na kuonekana nadhifu sio dhambi jamani, kwasababu utamkuta mtu zile nguo mbaya mbaya ndo anaenda nazo kanisani, ila ukimkuta amealikwa sehemu unaweza kumsahau, anavaa vizuri sana na anapendeza. Hebu tubadilike, tuwe smart wakati wote, na hata kama una nguo zako mbili tu, jaribu kuziweka katika hali ya usafi. Na hakikisha umepaka deodorant yako vizuri (hii ni muhimu sana wapendwa, maana tunapokua makanisani tunacheza kwa furaha tukimtukuza Mungu wetu, huwa hatujali hata tukitoka jasho kiasi gani, ila unapokuwa umepaka deodorant utaepukana na kukwaza wengine, badala ya kuzama katika kumsifu Mungu, harufu ya jasho lako inawaharibia step) na pia unajipaka perfume kama unayo ila sio lazima, osha na utengeneza nywele zako vizuri, pasi nguo zako nk. Hakikisha kupitia wewe, kuanzia tabia yako, mpaka muonekano wako wa nje vinamtukuza Mungu, sio watu ambao hawajaokoka wakikuona waseme kama wokovu wenyewe mtu anakua rough hivi siokoki, hii ni mbaya kabisa wapendwa katika Kristo.

Mungu atusaidie ili tuweze kumtukuza kuanzia kwenye matendo, kuongea kwetu na muonekano wetu wa nje.
Yesu akubariki.

Na Upendo Benson

.......ITAENDELEA!!!!

Sunday, January 6, 2013

A DEEP SUMMARY ON.... PRAISE AND WORSHIP....(12)

Being my first sermon of the year and the last in a series of A  Deep Summary session on Praise and Worship, I am grateful to God for taking us through this journey as we have been exploring some truths and facts about praise and worship.

Today we are going to see the role of music in praise and worship. Personally, I love music, the whole issue of singing and playing musical instruments!
I remember when I was a child, I was shy if not afraid of singing in front of people. I was in a Sunday School Choir but in really sense it was just because I could not quit, being a child I had to listen to my elders and be in the choir.
As I was growing, I met different people who did so much with music and I was inspired and since then, I knew that God has put some music in me.

There are different kinds of songs and music that people sing. Let us see how does music relate to praise and worship. First of all, the bible encourages us to praise God with musical instruments. If you read from the book of Psalms 150, there are different instruments mentioned which can be used to praise God. You can play instruments with a heart of worship, with a heart of praise.

We also read from Psalms 27:6 "Then my head will be exalted
above the enemies who surround me;
at his tabernacle will I sacrifice with shouts of joy;
I will sing and make music to the Lord.NIV
The Psalmist plans to sing and make music to the Lord as a way of giving Him praise!


One thing to remember is that, the relationship the musician has with God is more important than the music itself. Being an important sector, even David put special people (1 Chronicles 6:31-32 "These are the men David put in charge of the music in the house of the Lord after the ark came to rest there. 32 They ministered with music before the tabernacle, the Tent of Meeting, until Solomon built the temple of the Lord in Jerusalem. They performed their duties according to the regulations laid down for them. "
NIV)

We have seen the meaning and so much explanation on praise and worship in the previous lessons, all that can be put in music.
A few things to keep in mind


  • Spiritual music comes from spiritual people.
  • It is a good thing to seek standards in music but remember your heart sings louder than your mouth so be careful of what it fills your heart.
  • We can use music as a vessel to carry the praise and the worship from our hearts.
  • The tempo of the music does not specify whether we are praising or worshiping.
I give all the glory and honor to God Almighty! God bless you so much with all the blessings both physically and spiritually...!!!


                                       THE END!

Wednesday, December 26, 2012

A DEEP SUMMARY ON.... PRAISE AND WORSHIP....(11)


As we are approaching the end of this series on praise and worship, there are remaining two questions that I promised to answer and this marks the last but one session of our lesson before we wind up.
  1. How powerful is worship?
  2. How do I begin my journey as a truthful worshiper?
The power of worship
In worship, it is important that we seek God other than just the experience of worship. It is when we are made whole again. When we get to encounter our creator, the reverence of God, worshiping Him in His presence. When we worship in spirit and truth, we experience the true manifestation of God Himself in our lives.

We read from Ex 40:34-35

"Then the cloud covered the Tent of Meeting, and the glory of the Lord filled the tabernacle. 35 Moses could not enter the Tent of Meeting because the cloud had settled upon it, and the glory of the Lord filled the tabernacle.NIV

When we worship God in spirit and truth, worshiping Him from deep inside our hearts, He ministers unto us, His presence fills and covers us.

How do I begin my journey as a truthful worshiper?
This is very important and as children of God, we ought to know this. Since we worship God for who He is, it is important that we should seek to know God more. When the creation encounters the creator, the best thing to do is worship, bow down before Him! The more you know God, the more you advance your worship to God. 

Worship is all about God, who God is. So it is a wise thing to get to know God more in our lives and God says in Jeremiah 29:13
"You will seek me and find me when you seek me with all your heart." NIV If we need to worship in spirit, we need the Holy Spirit to guide us through. If we seek God, we will find Him.
This marks the end of the second major part of this sermon, one important part remaining, THE ROLE OF MUSIC IN PRAISE AND WORSHIP so do not plan to miss that... 



                             TO BE CONTINUED.....

Friday, December 14, 2012

MAISHA YA UREMBO NA WOKOVU (1)

Shalom ndugu msomaji!

Katika mada hii ningependa kuzungumzia maswala mazima ya mtazamo hasi wa watu waliookoka kuhusu urembo kwa ujumla. 

Urembo ninaozungumzia hapa ni pamoja na ubunifu wa mavazi, kushiriki mashindano ya urembo, kuwa mwanamitindo na kutangaza biashara za makampuni mbalimbali. 


 Watu wengi waliookoka wamekuwa wakipoteza fursa mbalimbali wanazopata katika fani hizi kutokana na mtazamo hasi walio nao kuhusiana na fani hizi. Wengine imewapelekea kuwakataza watoto wao, au ndugu zao kushiriki kwa kudai kwanba kazi hizo ni dhambi na ni mambo ya kidunia. Hii inatokana na baadhi ya walioko katika fani hizi kuwa na tabia ambazo hazimpendezi Mungu na wamekuwa sio mfano mzuri wa kuigwa kwa jamii. Sababu hizi zimewafanya wengi waliookoka kukumbatia fani zai na wengine kushindwa kushiriki katika fani hizi japokuwa sifa za kushiriki wanazo. 


Tukumbuke kuwa mtu mmoja aliyeokoka anawekaubadilisha mtazamo hasi uliopo na kufanyika kama kioo kwa jamii inayomzunguka kupitia fani hizi. Ubunifu wa mavazi: katika fani hii inasikitisha kuona mtu ameokoka na anauzoefu wa muda mrefu wa kushona na kubuni styles za mavazi lakini maisha yake ni duni na hana maendeleo wakati fursa za kushiriki katika maonyesho mbalimbali anazo lakini anaogopa na kudai hayo ni mambo ya kidunia. Akasahau kwamba kushiriki kwake kungempa kufahamika zaidi na kumpa wateja wengi na soko la kazi zake lingekua na kupato chake kingeongezeka. 

 Kushiriki mashindano ya urembo: Kama mtu uliyeokoka unaweza kushiriki mashindano haya na ikampa Mungu utukufu na pia ukafanyika kama chombo cha kuwafikishia wokovu watu wengi wakiwiwemo watu maarufu. Kwa njia hii pia utakuwa na nafasi nzuri ya kuisaidia jamii inayokuzunguka na ukawa mfano mzuri wa kuigwa. Na pia kupitia wewe wengi watajifunza mambo mengi mazuri yakiwemo kumcha Mungu na kufanya yanayompendeza Mungu.

ITAENDELEA......!!

Thursday, December 13, 2012

A DEEP SUMMARY ON.... PRAISE AND WORSHIP....(10)


It has been ten weeks now since the day we started a series of this lesson on Praise and Worship! It has been a wonderful time for me personally and I have learnt a lot.

Today we are going to cover the two questions
  1. Where should worship God? and
  2. What God wants the most, worship or a worshiper?
We have churches and there are times when we go to places have concerts of praise and worship, we go fellowships and other areas.
I can say that, worship depends on the heart of the worshiper, from the heart of the worshiper is where we get true worship.

We read from John 4:21
"Jesus declared, "Believe me, woman, a time is coming when you will worship the Father neither on this mountain nor in Jerusalem.
NIV


We worship God in His presence! It does not matter where but in His presence. We are supposed to walk in God's presence. God created us in a way that He wants us to live in His presence in each and every moment of our lives, not to meet Him only at church or at a certain place but He wants us to walk with Him. That is why worship is an attitude of the heart. God expects our worship to come from the inside out.

Saying that, does not really mean that we should not have local churches because the bible tells us from the book of Hebrews chapter 10 verse 25  "Let us not give up meeting together, as some are in the habit of doing, but let us encourage one another — and all the more as you see the Day approaching." NIV


When we come to the next question, that is what God wants the most, worship or a worshiper? If we get back to the gospel of John chapter 4 verse 23

"Yet a time is coming and has now come when the true worshipers will worship the Father in spirit and truth, for they are the kind of worshipers the Father seeks.NIV

God is concerned more about the worshiper, He wants us to be true worshipers. If He wanted more of worship other than the worshiper, then He could be pleased even with the false worshipers. But God is more concerned about our relationship with Him. He wants to be God to us, our God.


If you read from the book of Isaiah 29 verse 13 it says
 "The Lord says:

"These people come near to me with their mouth
and honor me with their lips,
but their hearts are far from me.
Their worship of me
is made up only of rules taught by men."
NIV


God is not pleased with just mere worship, He wants us to be close to Him, Praise God!!
We should seek to get closer to God and not just offering worship as some kind of a routine.

                                       TO BE CONTINUED.....!!! 

Wednesday, December 5, 2012

AMANI KAPAMA KUZINDUA "KATIKA NYUMBA YA BWANA" NDANI YA HEMA LA VCCT!!!

HUYU NI MMOJA WA VIJANA WANAOFANYA KAZI INAYOONEKANA,HUYU NI MPIGA DRUM NA MTUNZI WA SIKU ZA KUTOSHA TU,SASA AMEAMUA KUTOA ALBUM YA UIMBAJI KAMA SOLO ARTIST!!
SASA BASI IJUMAA HII YA TAR 07/12/2012 KUANZIA KUMI NA MBILI JIONI NDANI YA HEMA LA KISASA LA NKONE,KIJANA HUYU ATAWEKA WAKFU ALBUM YAKE HIYO!!!
HAKUNA KIINGILIO,WOTE MNAKARIBISHWA!!!

Tuesday, December 4, 2012

A DEEP SUMMARY ON.... PRAISE AND WORSHIP....(9)


Why do we worship?
This question gives us our this week focus on this lesson of worship. There are somethings in life that just happen spontaneously without involving our thinking. This  occurs most of the times when we are born or raised in a certain, to a point that we do not take time purposely to ask ourselves why do we do what we do!



Different people worship God for different reasons. Some do worship because it is a part of being a Christian, others because they are used to that, there are others also who worship God just because some other people do so they also want to look spiritual. 
I want us to take a look at the biblical perspectives upon answering this questions "why do we worship?"

The basic answer to this is, we worship God for who He is! He is a mighty God! Our eternal destiny depends on our worship of the true living God. And that is why God does not want us to worship other gods.
 Exodus 20:4-6 "You shall not make for yourself an idol in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. 5 You shall not bow down to them or worship them; for I, the Lord your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the fathers to the third and fourth generation of those who hate me, 6 but showing love to a thousand [ generations] of those who love me and keep my commandments.NIV
 
And God is a jealous God, we belong to Him and therefore we should worship only Him.

It is up to us to take this as a challenge and may God help us so that as we worship, it should really come from the inside out of us. We should take a step further in worship.

                            TO BE CONTINUED.......

Monday, November 26, 2012

A DEEP SUMMARY ON.... PRAISE AND WORSHIP....(8)


WORSHIP

Last week I promised to get into deep in answering the seven questions. I am going to start with the key question that will help us get the answers to the rest as well: What is worship?


There was a time when I really struggled on what really this is, I could just here people saying let us worship God, or it is time to worship or maybe give us a worship song and even let's go to a praise and worship concert. It was something strange but everyone seemed to know it so  just followed their ways, if they sing, I sing, if they pray, I pray, if they lift up their hands, I did the same even though I might have not had a strong conviction to do so.



I could not get the most of the time back then. But when I started knowing what worship really means, not just the meaning from the dictionary the true revelation from God, is when I started enjoying worshiping God and so I have continued seeking more and more of the concerns of worship.



Now let us come to the question, what is worship?

The English word worship comes from a Greek word 'Proskuneo' which means 'to fall before' or 'bow down before'. It is not just a mere action but it is an attitude of the spirit.
Worship is to be done all the time regardless of the time or the situation we are going through. 

We praise God because of what He has done, He is doing and/or what He is going to do but we worship God for who He is. When God reveals Himself to you, you will just worship Him! The level of your   depends so much on your knowledge of who God is, to what extent has He revealed Himself to you! He is a great God!!

If you read from the book of Mark chapter 12 verses 29 through 33 as Jesus was answering a question


29 "The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel, the Lord our God, the Lord is one.   30 Love the Lord your God with all your heart and with all your soul and with all your mind and with all your strength.'   31 The second is this: 'Love your neighbor as yourself.' There is no commandment greater than these." 
32 "Well said, teacher," the man replied. "You are right in saying that God is one and there is no other but him. 33 To love him with all your heart, with all your understanding and with all your strength, and to love your neighbor as yourself is more important than all burnt offerings and sacrifices." 
(NIV)

Worshiping God is acknowledging His greatness, knowing that there is only one living God. One will not turn to idles while knowing for sure who really God is! God has commanded us to have no other gods other than Him

We see this from the book of Exodus chapter 20 verses 2 through 6

"I am the Lord your God, who brought you out of Egypt, out of the land of slavery. 

3 "You shall have no other gods before me. 

4 "You shall not make for yourself an idol in the form of anything in heaven above or on the earth beneath or in the waters below. 5 You shall not bow down to them or worship them; for I, the Lord your God, am a jealous God, punishing the children for the sin of the fathers to the third and fourth generation of those who hate me, 6 but showing love to a thousand [ generations] of those who love me and keep my commandments.
NIV



 This is because He knows that He is the only God, the only Worthy God and He wants us as His children to know the same! Only God deserves to be worshiped as He is the only true living God!!


                         TO BE CONTINUED........!!!


Monday, November 19, 2012

A DEEP SUMMARY ON.... PRAISE AND WORSHIP....(7)

WORSHIP

INTRODUCTION
I am so glad that here is another opportunity once again for us to get to learn something about worship, something that as Christians, we ought to do. In fact, we need to live a life of worship. If you read the Bible from the book of John chapter 4 verse 24 says "God is spirit, and his worshipers must worship in spirit and in truth." NIV This is a very powerful verse that gives us the basis of how worship should be done - in spirit and truth! 

If we take a look at John 4:21-23 we see that " Jesus declared, "Believe me, woman, a time is coming when you will worship the Father neither on this mountain nor in Jerusalem. 22 You Samaritans worship what you do not know; we worship what we do know, for salvation is from the Jews. 23 Yet a time is coming and has now come when the true worshipers will worship the Father in spirit and truth, for they are the kind of worshipers the Father seeks." NIV

These verses gives us a clue who  and where Jews and Samaritans worshiped at that time. And verse 21 indicates that that was just temporarily as there is a time coming where they will no longer worship at either places. Furthermore, verse 23 says that the time is coming and has NOW come when the TRUE worshipers will worship the father in SPIRIT and TRUTH. I get a point that, both Jews and Samaritan worshiped but yet, among them, there were both true and false worshipers and ONLY true worshipers can worship the father in spirit and truth.

Verse 23 continues by saying ....they are the kind of worshipers the father seeks!!

It is my prayer that by the end of this lesson, the following 7 questions will have clear answers to help us in our lives as worshipers

  1. What is worship?
  2. Who is a true worshiper?
  3. Why do we worship?
  4. Where should worship?
  5. What God wants the most, worship or a worshiper?
  6. How powerful worship is?
  7. How do I begin my journey as a truthful worshiper?
please join me next week as we start this journey of learning and getting to know more about worship!

                                 TO BE CONTINUED.......